AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama ZARI Atakubali kutikiswa na Wanafiki kupitia HAMISSA mobeto basi atakuwa amejishushia heshima sana.....Mimi Zari mbali ya kumkubali kama mwanamke mtafutaji na mkubali pia kama mwanamke anae pitia challenge nyingi sana tena na kubwa kubwa.....wakati wa Mimba ya TIFFAH alisemwa sanaa hadi nikajiuliza huyu mtoto atakae zaliwa atakuwaje? Lakini Mungu si Mwanadamu....kapitia misiba 2 mikubwa hivyo hizi kelele za kuwa HAMISSA ana Mtoto wa Diamond Sio za kushangaza sanaaaa!!!
Watu wameanza kumjua HAMISSA na DIAMOND baada ya Wimbo wa Salome na Ile birthday lakini ukweli ni kwamba HAMISSA na diamond Wameanza urafiki kabla hata diamond hajawa na Wema Sepetu hivyo kama diamond angemuhitaji Hamissa alikuwa anampata toka kitambo!! ASINGEENDA KWA PENNY......
Hamissa Kaoneka Kwenye video ya Diamond ya MAWAZO wimbo ulitoka 2012 sijui 2013 kitambo hichoooooo HAMISSA walikuwa washkaji na Diamond kabla ya wema na penny
Ndio maana nasema Kuwa Wanafiki ndio wanao eneza story za Diamond na HAMISSA ........Hamissa hajaanza kupenda kazi za diamond leo! Sasa hizo story za kuwa Hamissa ana Mimba Ya diamond sijui ana mtoto wa Diamond hizo story za KUOKOTWA .....Ila Diamond atachelewa kupotea kwenye Game sababu ni kama hizii anaongelewa kuliko msanii yeyote yulee
Hili nalo litapitaa
By Danya
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kwanza mnafiki ni wewe mwenyewe ulioandika, halafu Hamisa kathibitisha kama Dai ndo usingizi wake nakushangaa limbukeni wewe unaelazimisha Zari apendwe tuu, wakati kuna mademu kibao wanaliwa na Domo.
ReplyDeletewewe unaejua ulitendalo tuambie kama mtoto si wadai. bi kizee hana jipya hawezi kumuacha Domo hana pa kwenda nani atamsugua na matoys kashayatupa. vumilia tuu habari ndo hiyo Hamisa kashamzalia Nassebu upo nyonyo!
ReplyDeletewabongo bwana.......mnajua kila kitu cha undani wa mtu.
ReplyDeleteWabongo hamuna la kufanya tafuteni kazi mufanye hayo ya dai na zari hamisa waachieni wenyewe
ReplyDeleteyes wabongo tunajua kila kitu cha undani wa Dai na Hamisa couz hawajifichi na kazi tunazo nyingi tu za kufanya ila hata wewe ulie coment huna kazi pia. Nyambafuuuuuuu.
ReplyDeletepumba
Delete