AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeelezwa kuwa maamuzi hayo yamefikiwa ili kuokoa nguvu kazi ya taifa ambayo imeathiriwa kwa kiasi kikubwa kutokana na watu wengi nchini humo kuendekeza masuala ya ngono.
Kwa mujibu wa Waziri wa Maadili wa Uganda, Simon Lokodo, tume hiyo itakayokuwa na wajumbe tisa na watalaam wengine kati ya 30 hadi 40 itatengewa bajeti ya Shilingi Bilioni 2 kila mwaka.
Bw. Lokodo amefafanua kwamba, tume hiyo itakuwa na vifaa vya kisasa kuingilia watu wanaohusika na kusambaza, kupakua, na kuangalia picha na video za ngono kisha kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria.
Amedai kuwa vitendo hivyo vinaliangamiza taifa hilo kwa kuchochea ongezeko la mimba za utotoni, matumizi ya dawa za kulevya, ushoga na ubakaji.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK