Video:Kwa Hili la Msanii ROMA na Wasanii Wengine wa HIP HOP Mjitafakari Upya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama umepata bahati ya kuusikiliza wimbo mpya wa ROMA na STAMIN unaoitwa HIVI AMA VILE ambao ndio huo hapo juu basi unaweza kunielewa haya machache ninayo taka kuwaambia wana HIP HOP

Kwanza wanatakiwa kutambua kuo mziku huo ni harakati ambao unalenga hasa kuelimisha jamii na kuonyesha uhalisia wa maisha na katika utendaji wa viongozi wetu

Bahati mbaya wasanii wetu ambao wanajaribu kuimba nyimbo za harakati wameanza kwenda kinyume na malengo hayo kwa kuanza kuelezea hisia zao za makundi

Katika huo wimbo wa juu wasanii hao wawili wamejisifia zaidi ktk kuwakubali baadhi ya watu wakasahau kuwa wao kama wanaharakati sio watu wa kusifia au kuwa upande fulani...wao wanatakiwa wawe kwa wale watu ambao wanaenda sawa ndio wanaweza kuwasifia lkn sio kuwa kubali

Mwanaharakati unatakiwa usifie lakini sio kuwa kubali watu maana kumkubali mtu yaani ww hata akikosea ni sawa tu


Lakini pia wao wanatakiwa kujua wana carrier kubwa sana katika industry na zaidi mashabiki zao wamegawanyika

Hivyo basi nawashauri wanaharakati wa mziki wasiweke wazi msimamo wao kwamba wana mkubali mtu fulani bali ikiwezekana wamsifie tu inatosha kuepuka kuleta mgawanyiko ambao unaweza kuleta chuki


Kwa wasanii kama hao kuimba nyimbo zenye kuleta matabaka ni uchochezi wa wazi...maana wanajaribu kuleta chuki baana ya pande mbili


Napenda kuwasihi sana wasanii wetu wawe waangarifu sana huku wakizingatia maslahi ya taifa kama watu wamoja
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad