AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Over Ze Weekend, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo ambao ndiyo wadhamini wa tamasha hilo, William Mpinga amesema tayari wanamuziki zaidi ya 17 akiwemo Kiba wameshasajiliwa kwa ajili ya kutoa burudani katika Tigo Fiesta ambayo itafanyika mikoa mbalimbali.
“Hadi sasa wasanii zaidi ya 17 akiwemo Kiba, Christian Bella, Shilole, John Makini, Mr. Blue, Saida
Karoli na wengine wameshasajiliwa, huu ni muda wenu wapenzi wa burudani kukata tiketi mapema kwa njia ya Tigo Pesa kupitia namba 0678888888 ambapo litatokea jina la Tigo Fiesta na atakayefanya muamala huo atapatiwa tiketi yake kwenye maduka ya tigo mkoa linapofanyika tamasha,” alisema Mpinga na kuongeza kuwa kwa mteja atakayenunua tiketi kwa njia hiyo atapata punguzo la asilimia 10.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK