AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkataba huo ni kati ya Manispaa ya Kinondoni na Kampuni ya Eastern Capital Limited kwa ajili ya kuendesha kituo hicho.
Akiwa ziarani hapo leo, Hapi ameelezwa na wafanyabiashara wakiwamo bodaboda, bajaji na machinga kuwa mwekezaji huyo amekuwa akiwalipisha kodi kubwa na michango bila kuwapa risiti wala kutoelezwa matumizi ya tozo hizo.
Hapi alitaka kupata ufafanuzi wa kina kwamba fedha hizo zinapelekwa Manispaa na kama wanatoa risiti za EFD lakini haikuwa hivyo.
"Ni marufuku kukusanya fedha nje ya mkataba, kinachokuongoza ni mkataba sasa nataka kujua hicho unachotoza kama hakipo kwenye mkataba nani aliyekutuma?,"
"Namuagiza Mkurugenzi wa Manispaa, apitie upya mkataba huu na kama hauna tija uvunjwe," amesema
Ametoa siku tatu kwa Kampuni hiyo kutoa taarifa za makusanyo ya fedha pamoja na kueleza kiasi cha kodi walicholipa tangu kuanza kwa mkataba.
Meneja miradi wa Kampuni hiyo, Haidary Salum amesema makusanyo na tozo zikiwamo usafi, umeme na ulinzi ulitokana na makubaliano kati yao na wafanyabiashara.
" Ndiyo haipo kwenye mkataba lakini tulikubaliana na wafanyabiashara ili wachangie huduma,"amesema
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK