Ben Pol Afunguka Sababu ya Kutoa Albam Kimya Kimya Bila Promo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ben Pol Afunguka Sababu ya Kutoa Albam Kimya Kimya Bila Promo
Msanii Ben Pol ametoa sababu ya kutoa albam yake kimya kimya bila promo yoyote na kusema kwamba amefanya hivyo ili kuipa nafasi kazi yake mpya aliyofanya na msanii Chidinma kutoka Nigeria inayoitwa 'Kidume'.

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Ben Pol amesema ameamua kuacha kufanya hivyo ili watu wasifikirie kuhusu albam tu na waipe nafasi kubwa zaidi 'kidume', ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki, lakini hata hivyo atatoa taarifa namna gani mashabiki wake wanaweza kuipata albam yake mpya.

"Kwa sababu nilitaka focus zaidi iwe kwenye wimbo mpya Kidume, halafu kuanzia wiki ijayo nitaanza kuongelea album na sehemu inakopatikana", alisema Ben Pol.
Albam hiyo imebeba nyimbo  15 ambazo zilishatoka miaka ya nyuma na kufanya vizuri, imetoka kipindi ambacho watu walikuwa na kiu na Albam mpya ya Ben Pol ambayo alishawahi kuwaambia mashabiki kwamba atatoa albam mpya atakayoipa jina la mtoto wake, lakini imekuwa tofauti na kutoa albam yenye mjumuiko wa kazi zake za awali na mpya.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad