AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ben Pol amefunguka hayo baada ya kupita siku chache tokea aliyekuwa anadaiwa kutoka naye kimapenzi ambaye ni msanii wa vichekesho nchini Anastazia Kisaveli 'Ebitoke' kulalamika kwamba hapokelewi simu yake wala kujibiwa ujumbe mfupi pindi amtumiapo Ben.
"Endapo nikimpenda msichana sifa kubwa huwa naangalia 'confidence' yake pindi tukiwa tunaongea na ku-chat, U-smart, umakini na uharaka katika kujibu vitu ambavyo anaulizwa kwa wakati huo", amesema Ben Pol.
Ben Pol kwa sasa anatamba na kazi yake mpya iliyopewa jina la 'Kidume' ambaye amemshirikisha msanii kutoka Nigeria anayejulikana kwa jina la Chidinma.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Yule ebitoke vipi
ReplyDelete