AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashirika matatu ya umma yamepeleka kesi mahakamani dhdi ya benki hiyo, wakiilaumu kwa kupitisha dola milioni 1.3 kwa muuza silaha.
Pesa hizo zilitumiwa kununua silaha na kukiuka azimio la marufuku ya silaha la Umoja wa Mataifa.
Papa Francis aomba msamaha kwa mauaji Rwanda
UN: Huenda Sudan Kusini ikakumbwa na mauaji ya kimbari
UN: Kuna hofu ya kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Kanali wa kabila la Hutu ambaye alipokea silaha hizo, Theoneste Bagosora, anatumikia kifungo cha miaka 35 jela kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Mauaji ya kimbari nchini Rwanda yalizuka baada ya ndege iliyokuwa imembeba Rais Juvenal Habyarimana kutoka kabila la Hutu ilidunguliwa Aprili tarehe 6 mwaka 1994.
Wanamgambo wa Hutu kisha wakawaua watu wa Tutsi walio wachache katika kipindi cha siku 100.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK