Bunge Lamemjibu Mbowe Kuhusu Milion 43 za Kumtibu Lissu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bunge Imemjibu Mbowe Kuhusu Milion 43 za Kumtibu Lissu
OFISI ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeijibu kauli ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ambaye mapema leo akizungumza na wanahabari alisema Spika Job Ndugai amezuia Sh. Milioni 43 zilizochangwa na wabunge kusaidia matibabu na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anayetibiwa Nairobi Kenya baada ya kupigwa risasi.

Ofisi hiyo imeeleza katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kuwa, michango ya wabunge kusaidia matibabu ya Tundu Lissu tayari zimeshatumwa Nairobi Hospital anakotibiwa mbunge huyo.
Taarifa ya ofisi ya Spika inasema kuwa fedha hizo zimetumwa siku ya tarehe 20 Septemba, 2017 kupitia benki ya Barclays Tawi la Huriringham akaunti namba 045 11553318.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad