AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ofisi hiyo imeeleza katika taarifa yake kwa vyombo vya habari kuwa, michango ya wabunge kusaidia matibabu ya Tundu Lissu tayari zimeshatumwa Nairobi Hospital anakotibiwa mbunge huyo.
Taarifa ya ofisi ya Spika inasema kuwa fedha hizo zimetumwa siku ya tarehe 20 Septemba, 2017 kupitia benki ya Barclays Tawi la Huriringham akaunti namba 045 11553318.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK