AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wazazi wakiwachukua watoto wao.
Waziri wa Elimu nchini humo, Fred Matiang’i amethibitisha kutokea kwa tukio hilo la kuhudhunisha huku akieleza kuwa vifo na majeraha mengi yametokana na kukanyagana baada ya taharuki na wengine kuruka kupitia madirishani ambapo majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Wanawake ya Nairobi kutibiwa.
Waziri wa Elimu nchini humo, Fred Matiang’iakiwatuliza wanafunzi na walimu wa shule hiyo.
Matiang’i ameifunga shule hiyo kwa wiki mbili kutokana na ajali hiyo na kuwataka wazazi wawachukue watoto wao wakati uchunguzi wa moto huo ukiendelea. Ameeleza kuwa wanafunzi wa kidato cha nne watarudi shuleni hapo Ijumaa ijayo kwa ajiri ya maandalizi ya mtihani wa kuhitimu elimu ya sekondari.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK