Chid Benz Amvuta Jay Z, Asema ile ya 2PAC Alikua Anatania, Ukweli ni huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya sakata la kusema amefanya collabo na Tupac na kuleta mtafaruku mkubwa kwa mashabiki huku wakimtolea maneno makali wakisema amesha athirika kiakili kwa madawa ya kulevya kwa kuwa Tupac ni marehemu, sasa Chid Benz kuja na collabo na Jay Z.

Akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television and Radio, Chid Benz amesema Collabo hiyo ameifanya na Jay Z huku 'chorus' yake ikifanywa na mke wa msanii hyo Beyonce, lakini anataka atoe 'chorus' hiyo na amuweke msanii wa Bongo Linah Sanga.

Chid Benz aliendelea kusema kuwa kauli hiyo anaitoa akiwa yuko sawa na sio mtu aliyelewa na madawa ya kulevya, na kwamba collabo hiyo imeshafanyika na cd yake ipo nyumbani kwa mama yake 'Mama Chid'.

 VIDEO:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad