Faiza Ali Yamefika Hapaaa....Amshukia Vikali Baba wa Mtoto wake Sugu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yule mwanadada machachari na ex wa Mbunge maarufu kutoka mkoa wa Mbeya, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ameibuka na kuicharua shule maarufu ya watoto wa kishua kwa kumrudisha mtoto nyumbani kisa anadaiwa laki moja ilihali yeye mzazi ameshalipia kiasi cha milion mbili taslim.

Kama kawaida yake hasira zake akazimalizia kwa muheshiwa kwa kumshushia kichambo heavy ambaye mara nyingi ndiye victim wa stress zake.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad