Gambo Atoa Ushauri Kuhusu Kufukuzwa Kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Gambo Atoa Ushauri Kuhusu Kufukuzwa Kazi
Mkuu wa Mkoa Arusha, Mrisho Gambo ametumia ukurasa wa Facebook kuwapa nguvu vijana na kuwafariji juu ya mambo mbalimbali ambayo yanatokea katika maisha na kusema kuwa vijana wengine wanaona hawawezi jambo fulani ni kutokana na kuwa na njia mbadala.

Mrisho Gambo amesema kuwa katika maisha ya kawaida siku ambayo mtu akifukuzwa kazi ndipo anaweza kugundua kuwa anaweza kuishi maisha yake vizuri bila ya kuwa na hiyo kazi na siku ambayo vijana wengine wanaweza kuanza kutumia vipaji vyao watagundua kuwa wanaweza kuishi bila kutegemea vyeti vyao.
"Siku utakayofukuzwa kazi utashangaa kuwa unaweza kuishi bila hiyo kazi, siku utakayoanza kutumia kipaji chako utashangaa kuwa unaweza ishi bila Digrii yako, siku Utakayoanza kutumia Ubunifu au Kutumia Taaluma yako utagundua kuwa unaweza kuishi bila kutegemea kupandishwa cheo, mengi unayodhani huyawezi ni kwa sababu tu una njia mbadala" alisema Mrisho Gambo



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad