Huddah Awachana Wanawake Wanaomtaka Kimapenzi Mtandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huddah Awachana Wanawake Wanaomtaka Kimapenzi Mtandaoni
Staa wa Kike maarufu kwenye mitandao ya Kijamii duniani Huddah The Boss Chick ambaye kwao ni Kenya ametoa jibu kwa wanawake tofauti waliokuwa wakiomba penzi lake kwenye Direct Message ya Instagram

Kwa mujibu wa Huddah inaonekana wazi ni zaidi ya mwanamke mmoja aliyemtaka kimapenzi ndio maana akaamua kuwajibu wote kwa wakato mmoja.

Huddah ameandika >>I miss my KING! And for those who keep asking on my DM! I am not BISEXUAL! I DON’T do WOMEN! I love D**K too much!😍😁 Most of my friends are GAY 💯and I love them to death but I don’t swing that way with women! Sawa? Thanks . Love you! ❤️ #STARGAL⭐️ “

Akimaanisha>“NimeMiss Mfalme wangu, na kwa wale wanaouliza kwenye DM Yangu, mimi sifanyi matendo ya ngono na wanawake wenzangu, napenda sana D**K, marafiki zangu wengi ni mashoga na nawapenda mpaka kufa, ila mimi sifanyi mambo hayo, Asante“

Hivi karibuni Huddah alikuwa kwenye vichwa vya habari baada ya kuonekana kwenye instagram ya Rick Ross.







-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad