Jaji Mkuu Aibuka 'Waliompiga Lissu Risasi Watashughulikiwa, Asisitiza Wapelelezi wa nje Hawana Uwezo wa Kukusanya Ushahidi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jaji Mkuu Prof I. Juma amesema suala la kupigwa risasi Lissu, upelelezi ukikamilika na ushahidi ukawepo, watalishughulikia kama Mahakama

Amesisitiza hakuna wapelelezi wanaweza kutoka nje na kuweza kukusanya ushahidi

"Tukio hilo ni la kihalifu , uhalifu Mkubwa, ni jaribio la kuua na kitu cha kwanza ni kukusanya ushahidi na huo ushahidi utakusanywa hapa hapa Tanzania, asikudanganye mtu kwamba mtu atakayetoka nje atakuwa na uwezo wa kukusanya ushahidi" amesema jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma. VIDEO:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad