Kiualisia Ndoto Yangu Kuwa na Watoto 12 Kwasababu Watoto Wanaufurahisha Moyo Wangu- Mongella

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiualisia Ndoto Yangu Kuwa na Watoto 12 Kwasababu Watoto Wanaufurahisha Moyo Wangu- Mongella
Rais wa kwanza wa Bunge la Afrika na mwanaharakati wa haki za wanawake nchini,  Balozi Getrude Mongella amesema moja ya ndoto zake ilikuwa ni kupata watoto 12.

Akitoa simulizi ya namna alivyofanikiwa kutimiza ndoto zake katika tamasha la Jinsia la 4, lililofanyika kwenye viwanja Mtandao wa Jinsia Tanzania, Mongella amesema  ‘’kiuhalisia napenda watoto kwa sababu  wanaufurahisha moyo wangu’’.

Amesema  uzazi wa oparesheni ndiyo uliomfanya ashindwe kutimiza ndoto hiyo hata hivyo alipata watoto watatu.

Amewaambia wanachama wa TGNP waliokuwa wanamsikiliza kwa hamu kuwa mafanikio yake

kisiasa yanatokana na malezi mazuri ya wazazi wake.

“Baba yangu alipenda kuona natimiza ndoto zangu, alinisapoti  kila hatua na nilipokuwa nafanya mikutano alikuwa  ananisikiliza na kunipongeza ninapofanya vizuri,”anasema

Siri ya mafanikio ni kujiamini, kujituma na kuthubutu.“Hata kama roho inauma, nilijipa ujasiri nikathubutu,”anasema.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad