Mademu Waliotembea na Usher Raymond Kutajirika Baada ya Kuambukizwa Gonjwa la Zinaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inasadikika mwanamuziki mashuhuri wa Marekani Usher Raymond keshawahi kuzuru Nchini kimyakimya kula Bata mbugani.

Sasa hivi jamaa ana kesi zinamuandama kwa kuwaambukiza mademu magonjwa ya zinaa mkanda wake jeshi (Herpes) na wanadai fidia Hadi 20m $.

Na lazima huko mbugani alipokuja kwenye vekeshen alitandaza miti tuu. Yeye kwake Kinga atumii. Kwa mantiki hiyo mademu kama mlitembea naye Na una maambukizi, haya tafuta mwanasheria nakuchangamkia Fursa faster


Huyu hapo juu kibonge anaitwa Quantasia Sharpton 21 kaibuka majuzi Na mwanasheria wake huyo mwanamama mzungu akimtuhumu Usher alimuambukiza mkanda was jeshi ( Herpes) akiwa miaka 18.​


Huyu hapa naye Laura Helm tena alikuwa besti wa mke wa Usher naye anataka 20$million kwa kuambukizwa.​

Cha ajabu mke wa Usher Hana maambukizi yeyote.

Wazungu wanavyochukia mafanikio ya mablacks hi ishu wameishupalia kichizi kwenye media.

Fursa hiyo kwa mademu zetu kama usher alikugegeda.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad