AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mwigulu amesema ujenzi utaanza Oktoba 2 mwaka huu ambapo kwa kuanza yeye ametoa mifuko 300 ya Simenti na Nondo 100 huku akiwataka vijana wajitolee kufyatua matofali.
Tayari mkandarasi wa ujenzi huo ameshapatikana na anaanza kazi Jumatatu ya Oktoba 2 ambapo matarajio mpaka ifikapo mwakani kituo hicho kianze kufanya kazi.
Aidha kwa upande wa Vijana wa Iramba wakiwakilishwa na Katibu wa vijana CCM Abel Makala wamesema wapo tayari kuweka kambi sehemu kunapofanyika ujenzi huo mpaka ukamilike kuunga mkono juhudi za kupatikana kituo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK