Mwigulu Nchemba Kujenga Kituo Kikubwa Cha Afya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwigulu Nchemba Kujenga Kituo Kikubwa Cha Afya
Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi na Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba kwa kushirikiana na wananchi wa Kata ya Kinampanda ameanza ujenzi wa kituo kikubwa cha Afya katika kata hiyo.

Waziri Mwigulu amesema ujenzi utaanza Oktoba 2 mwaka huu ambapo kwa kuanza yeye ametoa mifuko 300 ya Simenti na Nondo 100 huku akiwataka vijana wajitolee kufyatua matofali.

Tayari mkandarasi wa ujenzi huo ameshapatikana na anaanza kazi Jumatatu ya Oktoba 2 ambapo matarajio mpaka ifikapo mwakani kituo hicho kianze kufanya kazi.

Aidha kwa upande wa Vijana wa Iramba wakiwakilishwa na Katibu wa vijana CCM Abel Makala wamesema wapo tayari kuweka kambi sehemu kunapofanyika ujenzi huo mpaka ukamilike kuunga mkono juhudi za kupatikana kituo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad