Memeja wa County Boy, Billnass pamoja na wasanii wengine wa label ya LFLG, Petit Man amefunguka kwa kudai picha zilizosambaa mitandaoni zikimuonyesha akiwa na Hamisa Mobetto ni picha zake za zamani sana huku akidai picha hizo zilisambazwa kwa lengo baya. Petit ambaye amemuoa mdogo wake Diamond, Esma na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, wamerudiana hivi karibuni na baada ya wawili hao kutengana kwa muda.
VIDEO:
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia BofyaHAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.