Safari Za Treni Dar- Mwanza na Kigoma Zasitishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Safari Za Treni Dar- Mwanza na Kigoma Zasitishwa
Kampuni ya reli Tanzania TRL imetangaza kusitisha safari zake za treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda mikoa ya Mwanza na Kigoma kwa tarehe 19 na 21 kutokana  na matengenezo makubwa ya daraja katika njia ya treni mkoani Morogoro.

Kaimu Naibu Mkurugenzi wa TRL Bwana Focus Makoye amesema safari zitaanza mara baada ya matengenezo hayo tarehe 21 Septemba 2017 na kwamba kati ya abiria 2000 wataathirika kutokana nakusitishwa kwa safari hizo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad