AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Takwimu hizo zimetolewa jijini Dar es Salaam na waziri wa afya, Mhe. Ummy Mwalimu alipokuwa anapokea mashine ya kisasa ya kutoa dawa ya usingizi wakati wa upasuaji iliyotolewa na taasisi ya utepe mweupe ambapo amesema katika kukabiliana na tatizo hilo ifikapo mwezi juni 2018 serikali itaongeza vyumba vya upasuaji kutoka 109 hadi 279.
Akizungumza baada ya kukabidhi mashine hiyo mratibu wa kitaifa wa taasisi ya utepe mweupe Bi. Rose Mlay amesema ongezeko hilo la vifo linasikitisha na kumuomba waziri kuhakikisha anaendelea kuweka mkazo katika suala la upatikanaji wa huduma za dharura na kwa haraka kwa mama mjamzito hasa maeneo ya vijijini.
Kwa upande wake katibu mkuu wa wizara hiyo Dkt. Mpoki Ulisubisya ambaye pia ni mtaalamu wa usingizi ameelezea namna mashine hiyo inavyofanyakazi,uwezo wake na faida zake kwani haihitaji mitungi ya gesi wala umeme na ina uwezo wa kuonyesha viashiria vya hatar
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK