AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya post hiyo, mashabiki wa Hamisa walimjia juu Shamsa na kumshushia kichambo wakimtaka aachane na ishu za mwanamitindo huyo, badala yake apambane na hali yake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
JAMANI KWANI DIAMOND ANA NDOA YOYOYE INAYOTAMBULIKA IWE KANISANI,MSIKITINI AU SERIKALINI?
ReplyDeleteBADO KARATA INACHEZWA HAPO MPAKA DAKIKA HII HAMNA MKE HALALI HAPO.
kwanza wewe shamsa unaingilia mamabo yasio kuhusu ivo ulikuwa unajua daimond alikuwa na nani? huyuzari alimpata vp daimond? Daimond si alikuwa na Wema mbn kipindi kile huku ongea kitu sasa imekuwa nongwa hamisa kuwa na daimond na kuzaa na na isitoshe kwani daimo d kamuowa huyo zari ni mke wake wa ndoa? si ana zaa nae tu so kosa gani ka hamisa hata mapovu yawatoke kundu zima kwa mtu mmoja hebu wacheni zenu you cant judge people just like that my dear shamsa think before hee mbm mume yavalia njuga mambobya wenzenu ayaonje na yeye yamemfika hee KARMA hio alimchoma mwenzake amezee sasa time yake na bado KARMA YA IVAN itamfika
ReplyDeleteShamsa angalia yako na huyo mume jina.. achana na Hamisa humpati hata ukiwanga uchi. kwani huyo bi kizee Zari kaolewa au ndo kujipendekeza tuu.
ReplyDelete