AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori Over Ze Weekend, Sholo Mwamba anayekimbiza na ngoma kibao ikiwemo Geto alisema, ukiachilia mbali matatizo mengine ya kimaslahi na maendeleo ya muziki wake, moja ya mambo yaliyomfanya ajitoe kwenye menejimenti hiyo ni kitendo cha bosi wake kujihusisha kimapenzi na Dogo Janja.
“Ukweli ni kwamba penzi la aliyekuwa bosi wangu na Dogo Janja ni moja ya sababu ya mie kujiengua kwenye menejiment, uhusiano wao wa kimapenzi umekuwa ukinichefua vibaya na kufanya muziki wangu kuzorota, maisha yangu hayaeleweki kifupi ni kama dogo ameniharibia,” alisema Sholo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK