Tanzania Yajipanga Kwenda India Kujisafisha Sakata la Madalali Tapeli wa Zao la Korosho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzania Yajipanga Kwenda India Kujisafisha Sakata la Madalali Tapeli wa Zao la Korosho
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles John Mwijage  amekiri kupokea wito wa kwenda nchini India kwa ajili ya kusafisha jina la Tanzani baada ya watu wanaodaiwa ni madalali tapeli wa zao korosho kulichafua.

Mh. Mwijage ameyasema hayo jana ambapo amedai kuwa anaoushahidi  kuwa kampuni hizo za udalali zilivyochafua jina la nchi hivyo ni lazima awafikishe katika mikono yua sheria.
“Vitendo hivi vinavyofanywa na makampuni haya havivumiliki kwani mchezo huu ni mauti kwetu na nitahakikisha wanachukuliwa hatua kwani ninao ushahidi unaotosheleza,”alisema Mwijage.

Mh. Mwijage amefafanua kwa kusema kwamba watu wametapeliwa kwa kuambiwa pindi wanapoagiza mazao kuwa watoe pesa ya kianzio ambayo ni kuanzia dola za Marekani 123,000, sawa na Sh275 milioni na dola 200,000 sawa na Sh448milioni za kitanzania.
“Nimepokea wito kutoka India kwa ajili ya kwenda kusafisha jina la nchi kutokana na taswira ilisababishwa uwepo wa matapeli hao,”alisema Mwijage.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad