AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Showbiz, Aika alisema kuwa kundi lake linafanya muziki wa watu wote na halina muda wa kugawa kuhusu timu na anawashangaa wanamuziki wenye timu akiwemo Ali Kiba.
“Navy Kenzo na mambo ya timu hatutaki kabisa kuyasikia maana zaidi ya kujenga yana bomoa. Unajua unapokuwa na timu automatic unawagawa mashabiki wako jambo ambalo binafsi naliona si zuri kwa mwanamuziki,” alisema Aika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK