AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya Usafiri wa Mabasi yaendayo Haraka (Udart) imekiri kufanya makosa kwa kutofikisha taarifa vituoni kwa wateja wanaotumia usafiri huo kuhusu matatizo yanayotokea kwenye mabasi hayo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Udart, Deus Bugaywa alisema hayo jana baada ya mabasi hayo kugongana eneo la Shekilango na kusababisha barabara kutopitika.
Alisema kufuatia ajali ilitakiwa abiria wapatiwe taarifa wakiwa kwenye vituo vyao, lakini haikuwa hivyo na badala yake wakawa wanashindwa kujua nini kinaendelea.
Deus alisema kilichojitokeza jana ni tatizo la kibinadamu, hivyo amewataka watu wawe waelewa.
“Kwenye kila kituo tuna watu wetu ambao tunawasiliana nao ili kuwajulisha abiria wetu pale tatizo linapotokea, lakini leo (jana) hatukufanya hivyo” alisema Bugaywa.
Pia, alisema tatizo lililopo ni mapokeo ya abiria wanaotumia usafiri huo pale wanapopewa taarifa ambapo wengi huonyesha kutofurahishwa na taarifa hizo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK