Wama Atoa Neno Sakata la Kushambuliwa Tundu Lissu Asema Lissu Atarudi na Nguvu Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wama Atoa No Sakata la Kushambuliwa Tundu Lissu Asema Lissu Atarudi na Nguvu Mpya
Baada ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kupigwa risasi Septemba 7 mwaka huu eneo la ‘area D’ Dodoma na watu wasiojulikana, Malikia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amesema anakumbuka harakati za mbunge huyo.

Wema kupitia mtandano wake Instagram ameeleza kuwa Watanzania wote wanaimani kubwa kwamba atarudi na nguvu mpya zaidi ya aliyokuwa nayo.

We still Cant wait for You to get up on your feet… Our Hero… Our True Leader… And By his Grace You will Be Up once Again… We sure do miss you… Tunakumiss sana… Tunamiss Harakati zako, na hata pale ulipokuwa unaonewa na tukisononeka pamoja na wewe… Basi watanzania wote tuna imani kubwa kwamba u will come back Powerful than you have ever been because What doesn’t kill u, Only makes you Stronger… You are in our Prayers… We love you… May God Keep His Close watch upon You… Amen…!!🙏🏼🙏🏼🙏🏼

Lissu alipelekwa Nairobi katika hospitali ya Aghakhan ambapo hadi sasa anapopatiwa matibabu.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad