AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema kupitia mtandano wake Instagram ameeleza kuwa Watanzania wote wanaimani kubwa kwamba atarudi na nguvu mpya zaidi ya aliyokuwa nayo.
We still Cant wait for You to get up on your feet… Our Hero… Our True Leader… And By his Grace You will Be Up once Again… We sure do miss you… Tunakumiss sana… Tunamiss Harakati zako, na hata pale ulipokuwa unaonewa na tukisononeka pamoja na wewe… Basi watanzania wote tuna imani kubwa kwamba u will come back Powerful than you have ever been because What doesn’t kill u, Only makes you Stronger… You are in our Prayers… We love you… May God Keep His Close watch upon You… Amen…!!🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Lissu alipelekwa Nairobi katika hospitali ya Aghakhan ambapo hadi sasa anapopatiwa matibabu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK