Wanasheria wa Uingereza Watuma Waraka Mzito kwa Rais Magufuli Baada ya Tukio la Kushambuliwa kwa Risasa Tundu Lissu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanasheria wa Uingereza Watuma Waraka Mzito kwa Rais Magufuli Baada ya Tukio la Kushambuliwa Risasa Tundu Lissu
KUFUATIA matukio ya kukamatwa mara kadhaa na baadaye kupigwa risasi na watu wasiojulikana kwa Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Chama cha Wanasheria cha Bar Human Rights Comitee cha nchini Uingereza, kimetuma waraka mzito kwa Rais wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli.
Sehemu ya waraka huo imelaani vikali matukio hayo na kutaka chombo huru kipewe nafasi ya kufanya uchunguzi. Nakala ya waraka huo imetumwa pia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP, Spika, na Jaji Mkuu wa Tanzania.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad