AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
David Njau, baba wa Moureen aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Lucky Vincent na Salum Kassim, baba wa Ikram wanafuatilia uchunguzi wa miili ya watoto wao iliyoopolewa kwenye shimo la choo jana Septemba 5 usiku katika eneo la Mji Mpya, Mtaa wa Olkerian.
Wakati Moureen alitekwa Agosti 21 saa kumi na moja jioni, Ikram alitekwa Agosti 26, saa 12 jioni.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Olkerian, David Safari ambaye yupo pamoja na familia hizo, amesema wanakwenda kuwaomba polisi wawapatie miili kwa ajili ya maziko.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo anatarajiwa kutoa tamko baadaye kuhusu tukio hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK