Zitto Akamatwa na Kusafirishwa Chini ya Ulinzi wa Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zitto Akamatwa na Kusafirishwa Chini ya Ulinzi wa Polisi
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesafirishwa na polisi kwenda Dodoma.

Taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya ACT-Wazalendo, Mohamed Babu imesema Zitto amesafirishwa kwa gari saa 10:00 usiku akitokea kituo cha polisi cha Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA).

Amesema kamati hiyo inafuatilia kwa umakini hatua kwa hatua kuhakikisha usalama wake ikiwataka wanachama na wananchi kuendelea kuwa watulivu.

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema Zitto amesafirishwa kwa gari la Bunge akiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Zitto anatakiwa kufikishwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad