AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo kilikuwa ni kitu ambacho hakikumpendeza Alikiba, ndipo alipoamua kumjibu shabiki huyo ambaye anatumia jina la Kibasalu katika mtandao wa Instagram;
Officialalikiba @kibasalu naomba msiniite hivyo siwezi kuwa wala siwezi kukubali imani yetu haturuhusu kujiita au kuitwa na mtu yoyote ule jina la MUUMBA.
Comment hiyo ya Alikiba inakuja mara baada ya shabiki huyo kwenda kwenye moja ya picha za msanii huyo katika mtandao wa Instagram na kuandika, ‘Bongo flaver god’.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe ni King tu.na ninakupa heshima kubwa kwa kukataa ,hiyo ni kufuru kama ya firauni alipojiita MUNGU .ALI KIBA kuwa na msimamo wako huo huo.supporter wako kutoka Oman
ReplyDelete