Baba Mzazi wa Lulu Akataa Posa ya Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baba Mzazi wa Lulu Akataa Posa ya Lulu
Baba Mzazi wa muigizaji wa filamu bongo Elizabeth Michael, Mzee Michael Kimemeta, amekataa kupokea posa ya binti yake huyo ambaye amekuwa akiwatoa udenda wanaume wengi kwa urembo wake.

Mzee Kimemeta amefunguka hayo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba hatopokea posa ya mwanaume atakayekwenda kumuoa Lulu, kikubwa atakachoangalia ni furaha ya binti yake kwenye maisha yake.
“Suala la kuoana ni la watu wawili anayeoa na anaye olewa, yeyote atakayemleta sisi tunambariki, posa haiko kwenye msamiati wangu, siuzi mtoto, wala sitaki posa yoyote, posa yangu ni amani ndani ya nyumba yao, ndio posa watakayoniletea”, amsema Mzee Kimemeta.
Mzee Kimemeta ameonekana kuwa bega kwa bega na mwanaye kwenye kesi ya mauaji inayomkabili binti yake, iliyoanza kusikilizwa tena wiki hii.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad