AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Calisah ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television, na kusema kwamba hatothubutu na hawezi kuruhusu pesa ibadilishe utu wake, na kupoteza sifa yake ya kuwa mwanaume.
"Ni suala baya kwa mwanaume kuvaa kitu cha kike, unajua Tanzania bado tuko nyuma kwenye vitu vingi sana, kwenye muziki, kwenye movie bado tuko nyuma, sasa inabidi watokee watu wawe wanapiga step kwenye kutambulisha kitu kipya ili tuendelee kukua, nitavaa bikini, nitavaa gauni, kitu ambacho sitafanya, hakuna kiaasi cha pesa ambacho kinaweza kikabadilisha uanaume wangu kuwa kitu kingine, chochote kitakachonitofautisha kuwa mwanaume, yaani nisiwe na sifa za mwanaume, sitafanya kamwe kwa pesa yoyote ile", amesema Calisah.
Hivi karibuni Calisah alikumwa na kashfa ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja, baada ya kuonekana kwa picha zake akiwa amevaa viatu vya kike.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
www.mwanamatukio.blogspot.com
ReplyDeleteclick to read comments