Lazima Tuondoke na Ushindi Kutoka kwa Mtibwa Leo- Omog

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lazima Tuondoke na Ushindi Kutoka kwa Mtibwa Leo- Omog
Kocha wa Simba, Joseph Omog amesema anaifahamu vyema Mtibwa Sugar kuwa ni timu nzuri na ina wachezaji bora hivyo haitakuwa mechi rahisi kushinda, lakini lazima waondoke na ushindi leo.

Mechi hiyo inawakutanisha Simba na Mtibwa kwenye uwanja wa uhuru ikiwa ni siku moja baada ya mechi ya watani zao Yanga walioibuka na ushindi jana Jumamosi.

Matokeo ya Yanga ya mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar yanawapa presha Simba kucheza kufa na kupona ili kuibuka na pointi tatu zinazoweza kuwarejesha kileleni mwa msimano wa Ligi Kuu leo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad