AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dogo Janja ambaye kwa sasa anafanya vizuri ngoma ‘Ngarenaro’ ameiambia Planet Bongo ya East Africa Radio kwa sasa hayupo Dar es Salaam ila atakaporojea atalizungumzia hilo.
“Nitakuambia tu wala usijali, nikirudi mjini, nipo mitaa ya Bagamoyo, nikitoka naenda Zanzibar, nikitoka nitakupa exclusive” amesema.
Siku ya Jumamosi October 28, 2017 ndipo taarifa zilianza kudai wawili hao kufunga ndoa lakini hakukuwa na ushahidi wowote zaidi ya picha walizoweka katika mtandao wa Instagram ingawa watu karibu na Dogo Janja wamekuwa wakieleza ni kweli.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK