AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ikiwa Jumatatu hii ya Octoba 2, ni siku ambayo msanii huyo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, taratibu ameanza kupata tobo, mtandao maarufu ambao unaonyesha siku ya kuzaliwa ya mastaa wakubwa duniani, Famous Birthday umempa shavu muimbaji huyo wa Hallelujah.
Mtandao huo umeonyesha kuwa Diamond amezaliwa siku moja na mastaa wengine kama Mahatma Gandhi ambaye ni kiongozi wa kukumbukwa aliyepigania uhuru wa India, Roberto Firmino (mchezaji wa Liverpool), Sting (mwanamuziki wa Rock), Kelly Ripa (mtangazaji wa runinga), Lene Nystrom (mwanamuziki wa Pop) na wengine.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK