AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Federer raia wa Uswis ametwaa taji lake la sita ndani ya mwaka 2017, akiwa ndiye mchezaji pekee aliyemshinda Nadal mara nne ndani ya mwaka huu.
Mswis huyo mwenye umri wa miaka 36, alikuwa kwenye kiwango kizuri leo baada ya kumlaza Nadal kwa muda wa dakika 72 pekee.
Federer sasa ndio mchezaji pekee ambaye anaweza kuchukua nafasi ya Nadal kama mchezaji namba moja duniani mwishoni mwa mwaka huu, lakini michuano ya ATP kwenye uwanja wa London 02 mwezi ujao ndio itaamua.
Kwa upande wa wanawake Maria Sharapova ameshinda taji la kwanza tangu Mei 2015, baada ya kumpiga Aryna Sabalenka 7-5 7-6 10-8 katika fainali ya Wazi ya Tianjin mchana wa leo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK