AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siri hiyo imetolewa na msanii Abby Skills ambaye pia ni mtu wa karibu na Alikiba na moja ya msanii ambaye yupo chini ya lebo ya muziki ya Alikiba, alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, na kusema kwamba Jokate yupo chini lebo ya Alikiba, ambayo pia yeye yupo.
“Mimi pia nipo chini ya lebo yake, Alikiba ni bosi wangu, kuna Abdu Kiba, kuna Salim, kuna Heri, kuna Jojo Jokate”, amesikika Abby Skills akitoa siri hiyo ambayo hakutakiwa kuiweka wazi kwa mujibu wake mwenyewe.
Alikiba na Jokate waliwahi kuwa na tetesi kuwa na mahusiano ya kimapenzi, na hivi karibuni Alikiba alisikika akisema hadharani kwamba hana mahusiano na mwanamitindo huyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK