Huu Hapa Uteuzi wa Rais Magufuli kwa Viongozi Mbalimbali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huu Hapa Uteuzi wa Rais Magufuli kwa Viongozi Mbalimbali
Rais  Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 26, 2017 amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika serikali wakiwepo Makatibu Wakuu, Wakuu wa mikoa na kumteua Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania mstaafu (IGP) Ernest Mangu kuwa balozi.

Akizungumza kwa niaba ya Rais, Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Balozi John William Herbert Kijazi amesema kuwa Rais Magufuli amefanya uteuzi huo ili kukamilisha safu ya watendaji ambao watalisaidia Baraza lake jipya la Mawaziri ambalo amelifanyia marekebisho siku za karibuni.
Miongoni mwa watu ambao wameteuliwa kuchukua nafasi hizo ni mabalozi wawili ambao vituo vyao vya kazi vitakuja kutangazwa baadaye akiwepo aliyewakuwa IGP Ernest Mangu  pamoja na  Azizi Mlima.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad