AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwa niaba ya Rais, Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Balozi John William Herbert Kijazi amesema kuwa Rais Magufuli amefanya uteuzi huo ili kukamilisha safu ya watendaji ambao watalisaidia Baraza lake jipya la Mawaziri ambalo amelifanyia marekebisho siku za karibuni.
Miongoni mwa watu ambao wameteuliwa kuchukua nafasi hizo ni mabalozi wawili ambao vituo vyao vya kazi vitakuja kutangazwa baadaye akiwepo aliyewakuwa IGP Ernest Mangu pamoja na Azizi Mlima.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK