Juma Nature Afunguka Kuhusu Kuacha Muziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Juma Nature Afunguka Kuhusu Kuacha Muziki
Msanii Juma Nature ambaye ni mkongwe kwenye game ya bongo fleva Juma Kassin Nature, amesema wasanii wanaotangaza kuacha muziki na kuendelea kuwepo wanatafuta huruma ya mashabiki, au wanawapima watapokeaje.

Juma Nature ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Television, na kusema kwamba ni vigumu kwa mwanamuziki kuacha kufanya muziki, hivyo wasidanganye watu na kutafuta kiki kwa kujaribu kuacha muziki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad