AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kadhalika, kutengwa kwa Kshs 25 bilioni za kutumiwa kufadhili mpango wa elimu ya sekondari bila malipo ambao Rais Kenyatta alikuwa ameahidi kwenye kampeni kwamba utaanza kutekelezwa Januari mwaka ujao.
Aidha, kuna Kshs 6.7 bilioni za kufadhili ununuzi wa mahindi kuhakikisha kuuzwa kwa unga wa bei nafuu.
Wazee wa miaka 70 na zaidi wametengewa Kshs 6.7 bilioni chini ya mpango wa Inua Jamii ambao hutoa malipo kila mwezi kuwasaidia kujikimu kimaisha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK