AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwendesha Mashtaka Mwandamizi wa Takukuru, Leonard Swai jana alimweleza Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokwenda kutajwa.
Alieleza kuwa wametekeleza amri za mahakama walizopewa kwa kumpeleka Sethi Muhimbili na kwamba kinachosubiriwa ni ripoti ya daktari.
Naye wakili wa mshtakiwa James Rugemalira, Respicius Didas alieleza kuwa kuna ucheleweshaji wa upelelezi na kwamba washtakiwa walifikishwa mahakamani tangu Juni 19 na wapo ndani hadi sasa.
Wakili Didas alidai kuwa kila kesi ikifika mahakamani upande wa mashtaka unawaambia upelelezi bado, wateja wao wanaendelea kukaa ndani na wameathirika. Akijibu hoja hiyo, Swai alidai uchunguzi wa kesi ya kughushi unachukua muda na sheria ipo wazi.
Sethi na Rugemalira wanakabiliwa na mashtaka matano ya kutakatisha fedha pamoja na kusababisha hasara ya Dola 22,198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27.
Hakimu Shaidi aliiahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 27 kesi hiyo itakapotajwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK