AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hyo yamesemwa leo, Oktoba 29,2017 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde .
Dk Msonde amesema mtihani huo utaanza kesho Oktoba 30,2017 hadi Novemba 17,2017 huku maandalizi ya mitihani yameshakamilika.
Amezitaka kamati za mitihani za mikoa na halmashauri kuhakikisha utaratibu wa uendeshaji wa mitihani unafuatwa.
Katibu mtendaji huyo amewataka wanafunzi kuacha vitendo vya udanganyifu wakati wa kufanya mitihani kwa kuwa wanaweza kufaulu bila kufanya hivyo.
Dk Msonde ametoa onyo kwa wasimamizi na wanafunzi watakaojihusisha na udanganyifu na kusema kuwa baraza hilo halitasita kuwafutia mitihani wote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK