Kidato cha Nne Kuanza Mtiani ya Taifa Kesho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kidato cha  Nne Kuanza Mtiani ya Taifa Kesho
Mitihani ya Taifa kidato cha nne hapa nchini inatarajiwa kufanyika siku ya kesho nchi nzima ambapo watahiniwa 385,938 wanatarajiwa kufanya nchini.

Hyo yamesemwa leo, Oktoba 29,2017 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde .

Dk Msonde amesema mtihani huo utaanza kesho Oktoba 30,2017 hadi Novemba 17,2017 huku  maandalizi ya mitihani yameshakamilika.

Amezitaka kamati za mitihani za mikoa na halmashauri kuhakikisha utaratibu wa uendeshaji wa mitihani unafuatwa.

Katibu mtendaji huyo amewataka wanafunzi kuacha vitendo vya udanganyifu wakati wa kufanya mitihani kwa kuwa wanaweza kufaulu bila kufanya hivyo.

Dk Msonde ametoa onyo kwa wasimamizi na wanafunzi  watakaojihusisha na udanganyifu na kusema kuwa baraza hilo halitasita kuwafutia mitihani wote.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad