AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram wa klabu ya Yanga hapo jana imeeleza kuiingiza rasmi sokoni Magazine hiyo hii leo siku ya Ijumaa.
Tunapenda kuwataarifu wanachama, mashabiki na wadau mbalimbali wa soka kuwa ‘Yanga Magazine’, itaanza kuuzwa rasmi kesho (Ijumaa) kuanzia saa 3:00 Asubuhi Makao Makuu ya Klabu.
Hata hivyo jarida hilo litaanza kuingia mitaani leo jioni badala ya asubuhi kama ilivyokusudiwa kutokana na matatizo ya umeme.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK