Klabu ya Yanga Yazindua Magazine Yake Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Klabu ya Yanga Yazindua Magazine Yake Leo
Klabu ya soka ya Yanga hii leo imezindua rasmi Magazine yake ikiwa imesalia siku moja kabla ya mchezo wao wa Dar es salaam Darby dhidi ya hasimu wake Simba SC ikiwa na lengo la kujiongezea kipato.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram wa klabu ya Yanga hapo jana imeeleza kuiingiza rasmi sokoni Magazine hiyo hii leo siku ya Ijumaa.

Tunapenda kuwataarifu wanachama, mashabiki na wadau mbalimbali wa soka kuwa ‘Yanga Magazine’, itaanza kuuzwa rasmi kesho (Ijumaa) kuanzia saa 3:00 Asubuhi Makao Makuu ya Klabu.

Hata hivyo jarida hilo litaanza kuingia mitaani leo jioni badala ya asubuhi kama ilivyokusudiwa kutokana na matatizo ya umeme.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad