AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi Christine alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma na jana aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma . Kwahiyo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge kwasasa atahamia Mkoa wa Dodoma na nafasi yake itachukuliwa na Christine Mndeme.
Rais Magufuli leo mchana amewaapisha Makatibu Wakuu wapya, Naibu Makatibu Wakuu wapya na Wakuu wa Mikoa wapya baada ya jana kuwateua.
Hata hivyo Rais Magufuli amemtaka kiongozi huyo kwenda Mkoani humo kuhangaikia changamoto ya barabara mkoani humo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK