AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rosa Ree amefungukia ishu ya kujiondoa The Industry kwa kusema kwamba Mkataba Wake Umeisha Ndiyo maana akaondoka ila hana matatizo na Aika wala Nahreel, ikitokea wakimhitaji tena kwa ajili ya kuendeleza mkataba basi yuko tayari.
Rosa Ree kwa Sasa anatamba na ngoma yake mpya inayoitwa ‘Dow’ akimaanisha mkwanja.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK