AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amedai Wema Sepetu, Mange Kimambi pamoja na team yao ya mtandaoni wamefanikisha kupatikana kwa pesa zaidi ya milioni 60 kwaajili ya matibabu ya Mh Tundu Lissu ambaye amelazwa nchini Kenya kwaajili ya matibabu. Amedai warembo hao pamoja na wadau wengine mitandaoni waishio nchi za nje waliweza kuchanga kupitia mitandao na kufanikisha kupatikana kwa hela hizo.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK