AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Masogange alitarajia kuanza kujitetea leo lakini Wakili wa Serikali, Adolf Mkini alimuomba Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri aahirishe kesi hiyo hadi tarehe nyingine ambapo kutokana na ombi hilo, Hakimu Mashauri aliahirisha kesi hiyo hadi November 14, 2017.
Masogange ataanza kujitetea baada ya Mahakama kumkuta na kesi ya kujibu kwa upande wa mashtaka ambao ulikuwa na mashahidi watatu.
Masogange anadaiwa kuwa kati ya February 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya jiji la Dar es Salaam alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Pia anadaiwa kuwa kati ya February 7 na 14, 2017 alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK