Mwanamitindo Atoboa Siri Asema Kuoga Mara Moja kwa Wiki Kunasaidia Kutozeeka Mapema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamitindo Atoboa Siri Asema  Kuoga Mara Moja kwa Wiki Kunasaidia Kutozeeka Mapema
Mwanamitindo Vivienne Westwood mwenye umri wa miaka 76 kutokea  nchini Marekani, amesema kuwa kuoga mara moja kwa wiki ni siri kubwa ya kumfanya mtu asizeeke na daima kuonekana kijana.

Mume wake mwanamitindo huyo ambae ni Andreas Kronthaler alifanya mahojiano na Paris Fashion week baada ya kuulizwa kuhusu siri kubwa ya wao kuonekana vijana na kafunguka kuhusu siri hiyo.

Andreas Kronthaler ambaye ni mume wa Vivienne Westwood ameweka wazi kuwa yeye huoga mara moja kwa mwezi wakati mke wake Vivienne Westwood huwa anaoga mara moja kwa wik
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad