AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape Nnauye amedai kuwa Uhuru Kenyatta anastahili kuwa Rais wa Kenya kwa sababu yeye ni mwana demokrasia wa kweli hivyo anaamini raia wa Kenya watampa kura nyingi za kutosha na kumpuuza mpinzani wake Raila Odinga.
"Unastahili kuwa Rais wa Kenya. Mwana demokrasia wa kweli. Naamini ndugu zangu wa Kenya watakuchagua kwa kishindo kesho na kumpuuza kibaraka" ameaandika Nape Nnauye kupitia mtandao wake wa twitter.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dongo kizani........TUMEKUSOMAAAAAAAAAA
ReplyDeleteNape acha upayukaji, unazielewa vizuri siasa za Kenya? hivi Odinga ni kibaraka wa nani? yaani wewe ndo umekuwa sauti ya Kenya. Naona kiherehere, uzumbukuku na ulipyoto tu hapo. Sayonara
ReplyDeleteJPM kumtema huyu jamaa kwenye baraza lake, aliona mbali kwakweli.......unaingiliaje mambo yasokuhusu?? Pilipili uso-ila, yakuwashiani?? Au kwasababu Odinga ni 'best' yake na 'MKUU' ndio akaamua kutupa 'dongo-gizani' hahahahaha anyway, endelea kujifariji, utafanyaje sasa tehetehetehe
ReplyDelete